
Pongezi kwa Mhe.Job Yustino Ndugai kwa Kuteuliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB) inampongeza Mheshimiwa Job Yustino Ndugai (Mbunge wa Kongwa) kwa Kuteuliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Soma Zaidi