ADEM Logo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
ADEM Logo

Kitengo cha Ununuzi na Ugavi

Kitengo cha Ununuzi na Ugavi

  1. Kusimamia ununuzi wowote na uuzaji wa mali za Tume kwa njia ya Zabuni isipokuwa usuluhishi na kutunuku zabuni;
  2. Kuratibu shughuli za Bodi ya Zabuni ya Tume
  3. Kutekeleza maamuzi ya Bodi ya Zabuni ya Tume;
  4. Kufanya kazi kama Sekritarieti ya Bodi ya Zabuni ya Tume
  5. Kuandaa mpango wa Ununuzi na Uuzaji wa mali za Tume kwa njia ya zabuni;
  6. Kupendekeza ununuzi na uondoshaji wa mali za Tume kwa utaratibu wa zabuni;
  7. Kupokea na kukusanya upungufu wa mahitaji kutika katika idara, vitengo na ofisi za matawi na kushauri kuhusu mahitaji hayo;
  8. Kuandaa nyaraka za zabuni kwa ajili wazabuni kushiriki;
  9. Kuandaa matangozo ya fursa za zabuni; Kuandaa rasmu za Mikataba;
  10. Kutoa mikataba iliyothibitishwa na kusainiwa;
  11. Kuandaa na kuhifadhi kumbukumbu za mchakato wa ununuzi na uuzaji wa mali za Tume;
  12. Kuandaa na kutunza orodha au kitabu cha mikataba yote ambayo Tume imetunuku;
  13. Kuratibu kazi za ununuzi na uondoshaji wa mali za serikali katika ofisi zote za Tume; na
  14. Kuandaa taarifa nyinginezo kadri zitakavyo hitajika muda wowote.