ADEM Logo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
ADEM Logo

Idara ya Huduma za Sheria

 

KAZI ZA IDARA ZA HUDUMA ZA KISHERIA

  1. kupokea malalamiko ya Uvunjifu wa haki za binadamu na ukiukwaji wa misingi ya utawala bora na kuyachambua kama yapo ndani ya mamlaka ya Tume au la.
  2. Kutoa ushauri wa Kisheria kwa Tume, wananchi wanaofika au kuwasilisha malalamiko mbele ya Tume.
  3. Kuandaa na kuwasilisha Taarifa ya hali ya  haki za binadamu kwenye Taasisi za Kikanda na Kimataifa
  4. Kufuatilia utekelezaji wa Mapendekezo ya Tume yanayotekene na chunguzi zilizofanyika, tafiti na mapendekezo yanayotokana na Mfumo wa Kimataifa wa Kujitathmini (Universal Periodic Review )(UPR)
  5. Kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi