Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, (THBUB) Bw. Patience Ntwina akizungumza na watumishi wa ofisi hiyo ( hawapo pichani), wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya Maadili na Uwajibika...
Afisa uchunguzi Mkuu Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, (THBUB) Bw. Steven Chami akichangia maada wakati wa mafunzo ya Maadili na Uwajibikaji katika Utumishi wa Umma, Lishe, Afya akili na Magon...
Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi.akitoa mada ya Maadili na Uwajibikaji kwa Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala yaliyofanyika Katika Uku...
Baadhi ya watumishi wa Tume ya Haki za binadamu na utawala bora (THBUB) wakifuatilia mafunzo ya maadili na uwajibikaji katika utumishi wa Umma yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi...
Mkurugenzi msaidizi wa Rasilimali watu wa Tume ya Haki za binadamu na utawala bora (THBUB) Bwa. Fraksed Mushi (aliyekaa katikati) akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma, Mawasiliano Tafiti na Ny...