Wanafunzi kutoka Shule ya Sekondari Mwandiga iliyopo katika Halmashauri ya Kigoma wakifuatilia Mafunzo ya Haki za Binadamu yaliyotolewa na uJumbe kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
Kamishna Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,Mhe.Amina Talib Ali akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mwandiga iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma
Afisa Uchunguzi kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Alfan Botea akitoa elimu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa Watendaji Kata 20 wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigw...
Afisa Uchunguzi Mkuu kutoka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Saidi Zuberi akitoa elimu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa Watendaji Kata 20 wa Halmashauri ya Wilaya ya...
Kamishna Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Amina Talib Ali akizungumza na Watendaji Kata 20 wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Februari 14,2025 Mkoani Kigoma
Mkazi wa Kijiji cha Muyegela Kata Muyagera iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe akiwasilisha lalamiko lake wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji hicho Februari 14,2025 Kigoma
Mwaanafuzi wa shule ya Sekondari ya Mlole iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma akiuliza swali mara baada ya kupatiwa ellimu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora kutoka kwa U...
Ujumbe wa Tume ya Haki za binadamu na Utawala Bora ukiongozwa na Kamishna Mhe. Amina Talib Ali wakiwa katika picha ya pamoja na wanafuzi wa shule ya Sekondari ya Mlole iliyopo katika Halmashauri ya...
Kamishna Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Amina Talib Ali akizungumza na Waandishi wa habari kuhusu ujumbe wa THBUB kutoa elimu ya masuala ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora ka...