Baadhi ya wafanyakazi wanawake wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakiwa katika maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Machi 8,2023 katika Viwanja vya Sabasaba...
Wafanyakazi wanawake Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ofisi ya Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuelekea katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Viwa...
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Mathew P.M.Mwaimu(Mwenyeshati Jeupe) akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wanawake wa Tume waliopo Makao Makuu muda mfupi kabla yaku...
Kamishna wa THBUB Mhe. Amina T. Ally (kushoto) na Mkurugenzi Msaidizi wa Utafiti na Nyaraka Bi. Fidea Shao (kushoto) wakikabidhi zawadi za watoto yatima kwa Mkuu wa kituo cha Alhaafidhu Islamic Center...
Katibu Mkuu Wizara ya maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dkt.Zainab Chaula pia ni mgeni rasmi wa mkutano wa ishiini na moja wa baraza la wafanyakazi wa Tume ya haki za binadamu na u...
Bwa. Samwel S.Nyungwa Katibu TUGHE Mkoa akizungumza katika Mkutano wa ishirini na moja wa baraza la wafanyakazi wa Tume ya haki za binadamu na utawala bora uliofanyika Februari 21,2023 ukumbi wa J...
Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora Bw. patience Ntwina akitoa taarifa ya awali kwa Mgeni rasmi katika Mkutano wa ishirini na moja wa baraza la wafanyakazi uliofanyika Februari21...
Mwenyekiti wa TUGHE tawi la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bwa. Pontian kitorobombo akitoa ufafanuzi kuhusu masuala ya wafanyakazi katika Mkutano wa ishirini na moja wa baraza la wafanyakazi...
Afisa Uchunguzi Mwandamizi Bw. Mohamed Bakari akioa taarifa ya maoteo na vipaumbele vya bajeti ya Mwaka 2023/2024 ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika mkutano wa ishirini na moja wa...
Bi.Saada Masoud akichangia mada katika mkutano wa Baraza la ishirini na moja la wafanyakazi wa Tume lililofanyika Februari 21,2023 ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.