Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
Baadhi ya Watumishi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakiwa katika maadhamano ya maadhimisho Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo kitaifa yalifanyika Uwanja wa Jamhuri ,Mgeni rasmi Rias wa (JMT) Mhe.Samia Suluhu Hassan Mei 1,2022 Jijini Dodoma
Msahuri wa masuala ya kiufundi kutoka ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu kanda ya Afrika Mashariki Bw. Joseph Noubadon akizungumza katika mkutano wa mashauriano uliofanyika katika ukumbi wa ofisi za Makao Makuu Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Aprili 25,2022 Jijini Dodoma.
Bw.Saidi Zuberi ,Afisa Uchunguzi Mwandamizi(Kulia) akitoa maelezo kuhusu Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB) na utaratibu wa kuwasilisha malalamiko kwa Bw,Hussein Rubaka alipotembelea Banda la Tume katika maonesho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika katika viwanja vya Jakaya Convention Centre Jijini Dodoma Aprili 22,2022.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB) Bw. Patience K.Ntwina alipotembelea banda la Tume katika maonesho ya Siku ya Wafanyakazii Duniani yaliyofanyika viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma Aprili 24,2022.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Damas D.Ndumbaro akitoa maelekezo mara baada ya kupokea taarifa ya majukumu ya Tume na tamko la THBUB kuhusu umuhimu wa kutengeneza mpango kawzi wa Haki za Binadamu na Biashara nchini katika kikao cha kuitambulisha Tume na Majukumu yake kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Katiba na Sheria katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma Aprili 22,2022.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB) Mhe.Mathew P.M.Mwaimu(Jaji Mstaafu) akiwasilisha tamko la THBUB kuhusu umuhimu wa kutengeneza mpango kazi wa Haki za Binadamu na Biashara nchini kwa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Damas D.Ndumbaro katika kikao cha kuitambulisha Tume na Majukumu yake kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Katiba na Sheria Mji Mkuu wa Serikali,Mtumba Jijini Dodoma Aprili 22,2022.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB) Mhe.Mathew P.M.Mwaimu(Jaji Mstaafu) akiwasilisha tamko la THBUB kuhusu umuhimu wa kutengeneza mpango kazi wa Haki za Binadamu na Biashara nchini kwa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Damas D.Ndumbaro katika kikao cha kuitambulisha Tume na Majukumu yake kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Katiba na Sheria Mji Mkuu wa Serikali,Mtumba Jijini Dodoma Aprili 22,2022.
Jaji Mstaafu na Mwenyekiti wa THBUB, Mhe. Mathew Mwaimu (wa pili kulia) akiendelea kuongea, huku Bi. Eva Grambye na timu yake wakimsikiliza kwa makini.
Jaji Mstaafu na Mwenyekiti wa THBUB, Mhe. Mathew Mwaimu (wa pili kushoto) akiongea na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Danish Institute for Human Rights, Bi. Eva Grambye (mwenye vazi jekundu) na timu yake, hoteli ya Holiday Inn jijini Dar es Salaam, Aprili 8, 2022.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Geophrey Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari mapya ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora. Uzinduzi huo ulifanyikaMakao Makuu ya Ofisi za Tume, Kilimani Jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe.Mathew Mwaimu (Jaji Mstaafu) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Tume kwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria wakati waghafla fupi ya uzinduzi wa magari mapya ya Tume. Hafla hiyo ilifanyika Makao Makuu ya Ofisi za Tume, Kilimani Jijini DodomaMachi 29,2022
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Geophrey Pinda akizungumza wakati hafla fupi ya uzinduzi wa magari mapya ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Machi 29,2022. Hafla hiyo ilifanyika Makao Makuu ya Ofisi za Tume, Kilimani Jijini Dodoma
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Dkt.Fatma R.Khalfan akitoa neno fupi kwa watumishi wa zahanati ya Ihumwa mara baada ya kukabidhi msaada wa magodoro na kifaa cha kupimia uzito watoto katika Zahanati ya Ihumwa Machi 9,2022 Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mathew P.M. Mwaimu(Jaji Mstaafu) akitoa neno fupi katika maadhimisho ya siku Wanawake Duniani yaliyofanyika Wilaya ya Chemba Machi8,2022 Jijini Dodoma.
Jaji Mstaafu Mathew P.M.Mwaimu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora akizungumza na Wajumbe wa baraza la Wafanyakazi katika Mkutano wa ishirini wa Baraza la wafanyakazi uliofanyika Ukumbi wa Jakaya Convention Centre Februari 21,2022.
Mwenyekiti wa Tume Mhe.Mathew P.M.Mwaimu (Jaji Mstaafu)akitoa taarifa fupi ya THBUB kwa Waziri wa Katiba na Sheria Februari7,2022.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe George Boniface Simbachawene akiwa katika Picha ya Pamoja na Wakurugenzi wa Idara na Vitengo wa THBUB FEB7,2022.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. George Boniface Simbachawene akizungumza na Wahe.Makamishna na Wakurugenzi wa Idara na Vitengo wa THBUB Februari7,2022.