Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi.Mary Makondo akitoa utambulisho kwa Waziri wa Katiba na Sheria wakati wa kikao cha kujadili Andiko la Mchakato wa kutengeneza Mpango Kazi wa Haki za Binada...
Mkurugenzi Idara ya Haki Binadamu kutoka Wizara ya Katiba Sheria Bi.Nkasori Sarakikya akitoa maoni kuhusu wasilisho la Andikoa la Mchakato wa Kutengeneza Mpango Kazi wa Haki za Binadamu na Bia...
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Damas Ndumbaro(Mb) akizungumza wakati kikao baina ya Wizara na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Wizara, Mtumb...
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Mathew P.M.Mwaimu (JajiMst)akieleza kwa kifupi kuhusu Andiko la Mchakato wa Kutengeneza Mpango Kazi wa Haki za Binadamu na Biashara nchini Ta...
Afisa Uchunguzi Mkuu na Mratibu wa Mirad,Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bi.Jovina Muchunguzi akitoa ufafanuzi kuhusu Andiko la Mchakato wa kutengeneza Mpango kazi wa Haki za Binadamu na Bia...
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Mathew Mwaimu akiagana na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Kyle Nunas mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Makao Makuu ya Ofisi...
Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Kyle Nunas akiongea na viongozi wa Tume (hawapo pichani) Mei 25, 2023 Makao Makuu ya Ofisi za Tume, Kilimani jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Mathew Mwaimu (wa pili kushoto) akieleza majukumu ya Tume wakati wa mazungumzo baina ya Tume na Ujumbe kutoka Ubalozi wa Canada nchini Tanz...
Mshauri wa masuala ya siasa, uchumi, na mambo ya umma kutoka Ubalozi wa Canada nchini, Bi. Sandra Rossister akiomba kuongea wakati wa mazungumzo baina ya Tume na Ujumbe kutoka Ubalozi wa Canada yaliyo...
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Mathew Mwaimu (katikati) na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Kyle Nunas (wa pili kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Makamishna...