Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Khatib Mwinyichande(kulia),akizungumza na Waandishi wa habari kuhusu kazi ya ushirikishaji wa wadau wakati wa Uandaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa...
Viongozi na Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya Maadili kwa Watumishi wa Umma,Lishe na Magonjwa yasiyoambikaza Jul...
Afisa Lishe Mkoa wa Dodoma Bi.Nusrat akitoa Mada ya Lishe Bora kwa Watumishi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,yaliyofanyika Julai 23,2024 Dodoma
Daktari kutoka Hospital ya Mkoa wa Dodoma Bi.Emiliana Alex akitoa Mada ya Magonjwa yasiyoambukizwa kwa Watumishi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,yaliyofanyika Julai 23,2024 Dodoma
Daktari kutoka Hospital ya Mkoa wa Dodoma Bi.Emiliana Alex akitoa Mada ya Magonjwa yasiyoambukizwa kwa Watumishi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,yaliyofanyika Julai 23,2024 Dodoma
Mwezeshaji kutoka Sekretarieti ya Maadili Bw.Salvatory Kilasara akitoa mafunzo ya maadili na uwajibikaji kwa Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Julai 23,2024 Dodoma.
Watumishi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,wakifuatilia mafunzo ya maadili,uwajibikaji,lishe na uelewa juu ya magonjwa sugu yasiyoambukiza mahala pa kazi yaliyofanyika Julai 23,2024 Dodoma
Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw.Patience Ntwina akitoa hotuba wakati wa mafunzo ya maadili,uwajibikaji,lishe na uelewa juu ya magonjwa sugu yasiyoambukiza mahala pa kazi ya...
Mkurugenzi Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw.Jackson Nyamwihula akitoa taarifa ya awali wakati wa mafunzo ya maadili,uwajibikaji,lishe na uelewa juu ya magonjwa sugu yasiyoambukiza m...