ADEM Logo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
ADEM Logo

UTEUZI

17 Jan, 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji (Mstaafu) Mathew Pauwa Mhina Mwaimu kuwa Mwenyekiti na Bw. Mohamed Khamis Hamadi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Tume za Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa kipindi cha pili.

Aidha, Rais Samia amewateua Makamisha wa Tume kama ifutavyo;- 

i. Bw. Thomas Paulo Masanja, kuwa Kamishna wa Haki za Binadamu na Utawala Bora

ii. Bi. Amina Talib Ali, kuwa Kamishna wa Haki za Binadamu na Utawala Bora

iii. Bw. Khatib Mwinyi Khatibu, kuwa Kamishna wa Haki za Binadamu na Utawala Bora na

iv.Bw. Nyanda Josiah Shughuli, kuwa Kamishna wa Haki za Binadamu na Utawala Bora

Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 15 January, 2023.