ADEM Logo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
ADEM Logo

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora afanya ziara Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Jijini Dodoma.

15 Feb, 2023
Mwenyekiti  wa Tume ya Haki za Binadamu  na Utawala  Bora afanya ziara Ofisi ya Taifa ya Mashtaka  Jijini  Dodoma.

Mwenyekiti  wa Tume ya Haki za Binadamu  na Utawala  Bora Mhe.Mathew  P.M Mwaimu (JajiMstaafu)akitoa ujumbe wa Tume alipofanya ziara katika Ofisi ya Taifa ya Mashtaka  iliyopo Mtumba  Jijini Dodoma Februari 14,2023.