Wiki ya Sheria
                            
                                 26 Jan, 2023
                            
                                
                             
                                Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bwana Patience Ntwina alikuwa miongoni mwa Wakuu wa Taasisi mbalimbali walioshiriki katika uzinduzi wa Wiki ya Sheria jijini Dodoma. Uzinduzi huo uliambatana na matembezi ya kilometa 7 yaliyoanzia Kituo Jumuishi cha Haki (IJC).

