Kitengo cha Taasisi za Haki Jinai
Majukumu ya Kitengo
i.kupokea na kuchunguza malalamiko ya wananchi;
ii.kufanya ukaguzi wa magereza, vituo vya polisi na maeneo mengine ya kizuizini kwa mujibu wa sheria; kufuatilia utekelezaji wa mapendekezo ya Tume;
iii. kufuatilia matukio yenye athari kwa umma;
iv kuwezesha usuluhishi na upatanishi pale inapowezekana; na
v kutoa tahadhari za mapema kuhusu uwezekano wa uvunjwaji wa haki za binadamu.

