Kongamano la kukuza Maadili na Mapambano Dhidi ya Rushwa tarehe 26/11/2022
24 Nov, 2022
Waandaaji: TAKUKURU na THBUB
Katika Ukumbi wa Mikutano wa Chimwaga Chuo Kikuu cha Dodoma kuanzia 02:30 Asubuhi
Mgeni Rasmi atakuwa ni Mhe. Deogratius John Ndejembi, Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.