ADEM Logo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA

Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
ADEM Logo

Mhe Naibu Waziri atoa hotuba ufunguzi Kongamano la kukuza maadili na mapambano dhidi ya rushwa

30 Nov, 2022
Mhe Naibu Waziri atoa hotuba ufunguzi Kongamano la kukuza maadili na mapambano dhidi ya rushwa

Mhe. Deogratius John Ndejembi (Mb), Naibu Waziri, Ofisi ya Rais - Utumishi wa Umma na Utawala Bora akitoa hotuba ya ufunguzi katika Kongamano la Kukuza Maadili na Mapambano Dhidi ya Rushwa lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Chimwaga uliopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma tarehe 26 Novemba, 2022.