Wiki ya Sheria
                            
                                 26 Jan, 2023
                            
                                
                             
                                Mgeni Rasmi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Philip Isdor Mpango (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Taasisi wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Sheria uliofanyika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma Januari 22, 2023.

