Wataalamu na wajumbe wa Uandaaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za Binadamu na Biashara wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi mara baada ya kutoa hotuba ya ufunguzi wa uandaaji wa rasimu ya...
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Dkt.Anna Henga akizungumza wakati wa Kuandaa rasimu ya Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za Binadamu na Biashara katika kikao kilichofanyika Oktoba15,20...
Bi.Joyce Deloge, Mwakilishi kutoka Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) akizungumza wakati wa kikao cha Uandaaji wa rasimu ya Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za Binadamu na Biashara kilich...
Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw.Patience Ntwina akitoa hatua zilizofanyika katika mchakato wa Uandaaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za Binadamu na Biashara katika...
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Mohamed Khamis Hamad akitoa hotuba ya kikao cha kuandaa rasimu ya Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za Binadamu na Biashara ,Oktoba 15,20...
Wanafunzi kutoka Shule za Sekondari ( O-level) zilizopo Jijini la Dodoma Wakisikiliza Maelekezo ya Mdahalo wa awamu ya tatu uliofanyika , Oktoba 15, 2024. katika Ukumbi wa mikutano wa Shule ya Sekon...
Waandaaji wa Mdahalo wakiwa katika picha ya pamoja na Waalimu pamoja na wawakilishi wa Wanafunzi walioshiriki Mdahalo awamu ya tatu uliohusisha Shule za Sekondari ( O-level), Oktoba 15, 2024. Uliofany...
Timu ya majaji wa Mdahalo wakifuatilia hoja mbalimbali zinazotolewa na washiriki wa Mdahalo huo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Shule ya Sekondari ya Dodoma Oktoba 11, 2024. Mdahalo huo umean...
Baadhi ya wanafunzi kutoka Shule za sekondari (High level) zilizopo Jijini Dodoma wakifuatilia na kusikiliza Mdahalo uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Shule ya Sekondari Dodoma Oktoba 11,2024....