Naibu Katibu Mtendaji Bw.Msafiri Kalibona akizungumza wakati wa Kikao cha kuwasilisha Mapitio ya Itifaki ya Maputo kilichofanyika Hoteli ya Golden Tulip,Zanzibar Novemba 23,2023.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi.Mary Makondo akizungumza wakati wa Semina iliyotolewa na Tume kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala,Sheria na Katiba Novemba 7,2023 Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Balozi Pindi Chana akitoa utambulisho waliohudhuria Semina kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala,Katiba na Sheria Novemba 7,2023 Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Balozi Pindi Chana akitoa utambulisho waliohudhuria Semina kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala,Katiba na Sheria Novemba 7,2023 Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Balozi Pindi Chana akitoa utambulisho waliohudhuria Semina kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala,Katiba na Sheria Novemba 7,2023 Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Balozi Pindi Chana akitoa utambulisho waliohudhuria Semina kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Utawala,Katiba na Sheria Novemba 7,2023 Jijini Dodoma.
Kamishna Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Nyanda Shuli akitoa neno la shukran kwa wadau waliohudhuria Kikao ch Uwasilishaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa Biashara na Haki za Binadamu kilich...
Wadau kutoka Azaki za Kiraia wakifuatilia uwasilishaji wa Mpango Kazi wa Haki za Binadamu na Biashara kilichofanyika Novemba 2,2023 katika Four Point Dar es Salaam.
Afisa Uchunguzi Mkuu na Mratibu wa Miradi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bi.JovinaMuchunguzi akiwaeleza Washiriki wa kikao cha Wadau wa Azaki za Kiraia hatua za uandaaji wa Mpango Kazi...
Afisa Uchunguzi Mkuu Bw.Chrisantus Ndibaiukao kiwaeleza Washiriki wa kikao cha Wadau wa Azaki za Kiraia mfano bora kutoka nchi mbalimbali ambapo Tanzania imejifunza masuala ya uandaaji wa Mpango Kaz...