Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Elimu kwa Umma na Mawasiliano Bi.Zawadi Msalla akizungumza na wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Kaliua wakati wa ziara ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora...
Watendaji wa Kata na Vijiji Wilaya ya Kaliua wakifuatilia mafunzo ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora wakati wa Ziara ya Tume ya Haki za Binadmu na Utawala Bora katika Wilaya hiyo Januari...
Wanafunzi wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Kaliua wakifuatilia mafunzo ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora wakati wa Ziara ya Tume ya Haki za Binadmu na Utawala Bora katika Chuo hicho.Januari...
Mubabe Senga anayeshughulikia Dawati la Jinsia akitoa mafunzo ya mada ya haki ya mtoto wakati wa Ziara ya Tume ya Haki za Binadamu na Misingi ya Utawala Bora,katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Kaliua...
Mwananchi kutoka Kata ya Ifukutwa akiuliza swali wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika kwa lengo la kusikilza kero na malalamiko ya Wanancho,wakati wa Ziara ya Tume ya Haki za Binadamu na Utwala...
Mwanafunzi kutoka Shule ya Sekondari Kaliua akiuliza swali mara baada ya mafunzo ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora,yaliyofanyika Januari 16,2024 Shuleni hapo,Mkoani Tabora
Katibu Tawala Wilaya ya Kaliua Bw.Raymond Mweli akitoa utambulisho wa awali wakati wa ziara ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kutoa elimu katika Wilaya hiyo Januari 16,2025 Tabora
Afisa Uchunguzi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,Bw.Paul Sulle akitoa elimu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kaliua Januari 16,2025 Tabora
Ujumbe wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mhe.Mohamed Khamis Hamadi, wakizunguza na Katibu Tawala Bw.Raymond Mweli kuhusu ziara ya THBUB katika Wilaya ya Kaliu...
Makamu Mwenyekiti Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe.Mohamed Khamis Hamad akizungumza kuhusu ziara ya THBUB Mkoani Tabora katika kipindi cha Radio cha Afrika Bambataa kupitia CG FM Januari 1...