Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
Afisa wa THBUB, Bw. David Piniel (kulia) akitoa elimu ya haki za binadamu kwa mwananchi aliyetembelea banda la Tume kwenye Maonesho ya Nanenane yaliyofanyika viwanja vya Dkt. John Malecela, Nzuguni, j...
Afisa wa THBUB, Bw. Baraka Mgulu (kulia) akimueleza majuku ya tume mfanyabiashara mdogo aliyetembelea banda la Tume kwenye Maonesho ya Nanenane yaliyofanyika viwanja vya Dkt. John Malecela, Nzuguni, j...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Baraka Luvanda (kushoto) akifafanuliwa jambo na Afisa wa Mwandamizi wa THBUB, Bw. Innocent Amani (kulia) alipotembelea banda la Tume kwenye Ma...
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Tafiti na Nyaraka wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw.Paul Sulle akizungumza na Wanachama wa Skauti Dodoma kuhusu haki za binadamu na utawala bora waliotembelea...
Afisa wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw.Halfan Botea akiwaeleza Majukumu ya THBUB Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nzuguni waliotembelea Banda la THBUB katika Maonesho ya Nanenane yanayof...
Afisa wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Amina Malela akitoa elimu ya haki za binadamu na misingi ya utawala bora waliotembelea Banda la THBUB katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika Vi...
Afisa Mkazi Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tawi la Tabora Bw.Raphael Mbwambo akiwa anatoa maelezo mafupi kuhusu majumu ya Tume kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Dr. John Pima ali...