Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
Mfawidhi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tawi la Dar es Salaam Bi.Shoma Philip akizungumza na Mwananchi aliyetembelea banda la THBUB katika Maonesho ya Kitaifa ya Kibiashara yanayofanyika...
Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe.Zainabu Katimba(Mb) akionesha moja ya machapisho alilokabidhiwa na Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw.Juma Karibona wakati...
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Zainabu Katimba (Mb) akizungumza na Viongozi wa THBUB na baadhi ya Watumishi alipotembelea banda la THBUB katika Maonesho ya Kitaifa ya Kibiashara katika Viwanja...
Mkurugenzi wa Idara ya Elimu kwa Umma , Mawasiliano, Tafiti na Nyaraka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Monica Mnanka(Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa THB...
Mkurugenzi wa Idara ya Elimu kwa Umma , Mawasiliano, Tafiti na Nyaraka Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi.Monica Mnanka akikabidhi Machapisho kwa baadhi ya Wananchi waliotembelea banda l...