Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
Watumishi wa Serikali na Wafanyakazi kutoka sekta binafsi wakiwa kwenye maandamano wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Jijini Dodoma, Mei 01, 2026.
Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Jijini Dodoma, Mei 01, 2026.
Watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakipita jukwaa kuu mbele ya mgeni rasmi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Ji...
Katibu Mtendaji Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bw. Patience Ntwina akiwa katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, M...
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Rosemary Senyamule akihutubia watumishi wa Serikali na wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika katika...