Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
Baadhi ya watumishi THBUB wakifuatilia kwa makini mafunzo ya fidia kwa wafanyakazi yaliyoandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Tarehe 25, Machi 2026 Jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya fidia kwa wafanyakazi yaliyoandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu THBUB,...
Mkurugenzi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu THBUB, Bw. Jackson Nyamwihula (Kulia) akipokea zawadia kwaniaba ya Katibu Mtendaji kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Idara ya Uendeshaji Mfuko wa Fidia kwa Waf...
Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Bw. Abraham Siyovelwa (Aliyesimama) akitoa mafunzo ya fidia kwa wafanyakazi kwa viongozi wa Idara na Vitengo THBUB Jijini...
Mkurugenzi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu THBUB, Bw. Jackson Nyamwihula akifafanua jambo wakati wa mafunzo ya fidia kwa wafanyakazi yaliyoandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwa watu...