Tunajenga utamaduni wa kuheshimu haki za binadamu, misingi ya utawala bora na utu wa mtu
Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Bw. Patience Ntwina (Kushoto), akifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria Bungeni Jijini Dodoma,...
Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Bw. Patience Ntwina (Kulia) pamoja na baadhi ya Majaji, Wakurugenzi na Wakuu wa taasisi zilizo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria...
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Zuber Homera, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) katika viwanja vya Jengo la Bunge, Jijini Do...
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuber Homera, akiwasili Bungeni na Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2026/2027, Tarehe 24 Aprili 2026.