Mkurugenzi wa Uvuvi Tanzania Profesa Mohamed Sheikh akiwa katika picha ya Pamoja na washiriki wa mkutano wa wadau wa sekta ya uvuvi wakiwemo Viongozi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Asasi...
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Mhe. Mohamed Khamis Hamad akizungumza katika mkutano wa wadau wa sekta ya uvuvi, Jijini Dar es salaam, Julai 16,2025
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe. Nyanda Shuli akitoa elimu ya haki za watoto kwa baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Wailes iliyoko Temeke Jijini Dar es salaam baada ya...
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mhe. Nyanda Shuli akitoa elimu ya haki za watoto kwa baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Wailes iliyoko Temeke Jijini Dar es salaam baada ya...
Mwandishi Mkuu wa Sheria Bw. Onorious Njole akipatiwa maelezo kuhusu majukumu na shughuli zinazofanywa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu kwa Umma na M...
Afisa Uchunguzi Mkuu Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Bw. Innocent Aman akitoa Elimu ya Haki za watoto kwa wananchi wa Dar es Salaam waliotembelea banda la THBUB katika maonesho ya 49...
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro akipatiwa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Tume na Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu kwa Umma na Mawasiliano Bi. Zawadi Msalla wakati wa maonesho ya 49...
Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Abdalah Sagini akisain Kitabu cha wageni mara baada kuwasili katika Banda la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora katika Maonesho ya 49 ya Kim...